Afya ya mapenzi

Fuatilia

Mpenzi wa Mellissa kutoka Nairobi hulala fofofo baada ya tendo la ndoa, na anahoji kama ni ugonjwa. Daktari anasema hali hiyo si ugonjwa kwa watu wengi na inatokana na mabadiliko ya homoni na uchovu wa mwili. Hata hivyo, ikiambatana na dalili nyingine, ni vyema kushauriana na daktari.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa