Aden Duale
Kiongozi wa DCP Rigathi Gachagua amemwambia Waziri wa Afya Aden Duale asizungumzie Rais wa nne Uhuru Kenyatta. Hii imetokana na mashambulizi ya Duale dhidi ya Uhuru siku ya Jumamosi. Gachagua alimtetea Uhuru wakati wa ibada kanisani Murang'a.