Mahari
Buda mmoja wa Katsemeri, Kilifi, amemkabidhi jombi binti yake na watoto wao watano bila kumuita mahari. Hii ni baada ya kuchoshwa na ugeni wake wa mara kwa mara nyumbani kwake. Jombi alikuwa akidai kuwa ni mchumba wake akisubiri mahari.
Buda mmoja wa Katsemeri, Kilifi, amemkabidhi jombi binti yake na watoto wao watano bila kumuita mahari. Hii ni baada ya kuchoshwa na ugeni wake wa mara kwa mara nyumbani kwake. Jombi alikuwa akidai kuwa ni mchumba wake akisubiri mahari.