Mvutano wa Biashara

Fuatilia

Mvutano umezuka kati ya kampuni za kusaga miwa eneo la Magharibi baada ya shughuli hiyo kurejea miezi miwili iliyosimamishwa na Bodi ya Sukari nchini (KSB). Kampuni ya Sukari ya Mumias inashutumu Kampuni ya Sukari ya West Kenya kwa uvamizi na wizi wa miwa kabla ya kukomaa. Tukio hili limetokana na ugawaji wa maeneo na madai ya hujuma katika sekta hiyo.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa