Gbagbo

Fuatilia

Mke wa Rais wa zamani wa Ivory Coast Simone Gbagbo ameidhinishwa kugombea katika uchaguzi ujao wa rais. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 76 atashindana na Rais aliye madarakani Alassane Ouattara katika kura ya Oktoba 25.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa