Harambee Starlets

Fuatilia

Harambee starlets tayari kukabiliana na Gambia kwa kufuzu WAFCON

Njeri Mwangi

Harambee Starlets zina dakika 90 leo kukabiliana na Gambia katika mechi ya marudiano ya kufuzu WAFCON 2026. Baada ya kuwashinda 3-1 katika mechi ya kwanza, timu ya Kenya inahitaji kuepuka kufungwa zaidi ya mabao mawili au sare ili kufuzu. Kocha Beldine Odemba amesema timu yake iko tayari kuandika historia baada ya miaka 10 bila mafanikio.

Tovuti hii hutumia kuki

Tunatumia kuki kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera yetu ya faragha sera ya faragha kwa maelezo zaidi.
Kataa