Kayole

Fuatilia

Msimamizi wa zamani wa kituo cha Kayole analia mahakamani wakati wa kutoa ushahidi

Njeri Mwangi

Msimamizi wa zamani wa kituo cha polisi cha Kayole, SSP Dennis Omunga, alilia mahakamani wakati wa kutoa ushahidi katika kesi ya mauaji dhidi ya maafisa sita wa polisi. Alikumbuka kupoteza maafisa 13 wa polisi katika kipindi kifupi cha utendaji wake. Kesi inahusu mauaji ya Wycliffe Vincent Owuor, mshukiwa wa wizi wa Sh72 milioni mnamo 2019.

Tovuti hii hutumia kuki

Tunatumia kuki kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera yetu ya faragha sera ya faragha kwa maelezo zaidi.
Kataa