Uchaguzi wa Kenya

Fuatilia

Waziri wa zamani wa Usalama Fred Matiang’i amedai yuko tayari kuunga mkono mgombea mwingine wa urais kutoka Umoja wa Upinzani kwa ajili ya uchaguzi wa 2027, ikiwa atateuliwa kwa njia ya kisayansi na inayokubalika. Hii ni baada ya Jubilee kumteua rasmi kama mgombea wao. Anasema ni muhimu upinzani uwe na mgombea mmoja ili kushinda Rais William Ruto.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa