Kiharu
Mbunge wa Kiharu, Ndindi Nyoro amezungumza kwa mara ya kwanza na kufafanua kwa nini alihepa kikao cha kumtimua aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua. Anasema yeye si fuko na hakubaliani na hatua hiyo.
Mbunge wa Kiharu, Ndindi Nyoro amezungumza kwa mara ya kwanza na kufafanua kwa nini alihepa kikao cha kumtimua aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua. Anasema yeye si fuko na hakubaliani na hatua hiyo.