Jamii ya Waluo

Fuatilia

Waziri wa Fedha John Mbadi amedai yuko tayari kuchukua uongozi wa jamii ya Waluo kufuatia kifo cha Raila Odinga. Amesema anastahili kuwa msemaji mkuu wa kisiasa wa jamii hiyo, ingawa hakuna anayeweza kufuata hatua za Odinga kikamilifu. Kauli hii imetolewa katika hafla ya Kisumu.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa