Ajali ya baharini
Watu wanne wameokolewa na wengine wanne bado wanatafutwa baada ya boti iliyobeba nguzo za mikoko na mbao kuzama katika eneo la Lamu.
Watu wanne wameokolewa na wengine wanne bado wanatafutwa baada ya boti iliyobeba nguzo za mikoko na mbao kuzama katika eneo la Lamu.