Mike Sonko

Fuatilia

Wakili adai alipoteza wateja alipotishiwa na Sonko

Njeri Mwangi

Wakili Lucy Nyamoita Momanyi amedai katika Mahakama Kuu ya Nairobi kwamba alipoteza wateja baada ya kutishwa na aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko. Sonko alimlaumu kwa matumizi mabaya ya mamlaka katika usimamizi wa urithi wa Sh50 bilioni wa marehemu James Simon Bellhouse. Momanyi anaomba fidia na amri ya kuzuia Sonko kumzungumzia.

Tovuti hii hutumia kuki

Tunatumia kuki kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera yetu ya faragha sera ya faragha kwa maelezo zaidi.
Kataa