Mike Sonko

Fuatilia

Wakili Lucy Nyamoita Momanyi amedai katika Mahakama Kuu ya Nairobi kwamba alipoteza wateja baada ya kutishwa na aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko. Sonko alimlaumu kwa matumizi mabaya ya mamlaka katika usimamizi wa urithi wa Sh50 bilioni wa marehemu James Simon Bellhouse. Momanyi anaomba fidia na amri ya kuzuia Sonko kumzungumzia.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa