Mike Sonko
Wakili adai alipoteza wateja alipotishiwa na Sonko
Wakili Lucy Nyamoita Momanyi amedai katika Mahakama Kuu ya Nairobi kwamba alipoteza wateja baada ya kutishwa na aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko. Sonko alimlaumu kwa matumizi mabaya ya mamlaka katika usimamizi wa urithi wa Sh50 bilioni wa marehemu James Simon Bellhouse. Momanyi anaomba fidia na amri ya kuzuia Sonko kumzungumzia.