NADCO
Waziri wa Nishati Opiyo Wandayi amewataka viongozi wa upinzani kuwa waaminifu katika kusilisha sera zao. Alichukulia vibaya madai ya Kalonzo Musyoka na Eugene Wamalwa kuwa ripoti ya NADCO haijatekelezwa kikamilifu. Matamshi hayo yalitolewa wakati wa mazishi ya Beryl Odinga huko Bondo.