Onyo la Umma
Katibu Mkuu wa Afya ya Umma Mary Muthoni amewahimiza Wanakenya kuepuka kununua antibiotics bila agizo la daktari, hasa wakati wa sikukuu ambapo dalili kama kuhara na kutapika ni za kawaida.
Katibu Mkuu wa Afya ya Umma Mary Muthoni amewahimiza Wanakenya kuepuka kununua antibiotics bila agizo la daktari, hasa wakati wa sikukuu ambapo dalili kama kuhara na kutapika ni za kawaida.