Kukabiliwa Hadharani
Katika Changamwe, Mombasa, demu mmoja alimkabili mpenzi wake hadharani akimtuhumu kwa ahadi za uongo za kumlipia kodi ya nyumba. Alimwaga hasira yake mbele ya umati wa watu, akimtaka aache kumdanganya. Tukio hilo liliacha wengine wakishangaa.