Mto Kiama

Fuatilia

Sita watu wamefariki na wengine wamejeruhiwa vibaya baada ya matatu yao kutumbukia Mto Kiama katika Gatanga, Kaunti ya Murang'a, Jumapili Oktoba 26, 2025. Walikuwa wakerudi nyumbani kutoka hafla ya ulipaji mahari huko Kiambu. Dereva alidai kushindwa na breki kabla ya kupoteza udhibiti.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa