Jeshi la Urusi

Fuatilia

Kifo cha Clinton Nyapara Mogesa vitani Ukraine, aliyekuwa akipigania jeshi la Urusi, kimeonyesha kushindwa kwa serikali ya Kenya kulinda raia wake. Wakenya wengi, hasa vijana, wanaojiunga na jeshi hilo kutafuta maisha bora, ingawa vifo vya wenzake havijazuia. Hali hii inaashiria janga la kijamii ambalo taifa halijajiandaa nayo.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa