Makazi ya mabanda

Fuatilia

Zaidi ya familia 100 zimeachwa bila makazi baada ya moto kuzuka usiku wa Jumapili katika eneo la Tulanga, Mukuru Kayaba, Nairobi. Moto ulisambaa kwa kasi kutokana na upepo mkali, na kuharibu nyumba nyingi. Wakazi wamelalamika kwa kucheleweshwa kwa msaada wa dharura.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa