Changamoto za mitandao
Wizara ya Afya imetoa onyo kwa Wakenya dhidi ya kushiriki katika changamoto ya kushika miti kwa muda mrefu bila uchunguzi wa matibabu wa awali. Hii inafuata visa vingi vya watu kushindwa na kufikishwa hospitalini baada ya shughuli hiyo. Ongezeko la umaarufu la changamoto hiyo limechochewa na rekodi ya Truphena Muthoni ya saa 72.