Sekta ya Sukari
Mvutano wazuka kati ya kampuni za sukari ukanda wa Magharibi
Mvutano umezuka kati ya kampuni za kusaga miwa eneo la Magharibi baada ya shughuli hiyo kurejea miezi miwili iliyosimamishwa na Bodi ya Sukari nchini (KSB). Kampuni ya Sukari ya Mumias inashutumu Kampuni ya Sukari ya West Kenya kwa uvamizi na wizi wa miwa kabla ya kukomaa. Tukio hili limetokana na ugawaji wa maeneo na madai ya hujuma katika sekta hiyo.
Government plans to reskill retrenched sugar workers
The Kenyan government has announced plans to reskill and redeploy workers affected by the restructuring of state-owned sugar companies. Labour Cabinet Secretary Alfred Mutua shared these details during a Senate appearance on October 29, 2025, as part of efforts to revive the struggling sugar industry. This follows legal challenges from thousands of employees over redundancy notices.