Magharibi

Fuatilia

Wazee wa jamii ya Luhya walifanya kikao cha mashauriano na viongozi wakuu wa ODM kutoka eneo la Magharibi Desemba 11, 2025. Walijadili hatima ya ukanda huo baada ya Raila Odinga. Kikao hicho kilihusisha viongozi kama Wycliffe Oparanya na Opiyo Wandayi.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa