Baringo
Wakazi wa kijiji cha Chesongo, Baringo ya Kati, wameshangaa baada ya daraja jipya la watembea kwa miguu kusombwa na mafuriko usiku ule ule lilipozinduliwa. Daraja lilizinduliwa Jumapili na Afisa Mkuu wa Kilimo wa Kaunti ya Baringo Milka Toromo.