Bei ya Data

Fuatilia

Kampuni ya mawasiliano Safaricom imepunguza kwa karibu nusu kiasi cha data kinachotolewa katika baadhi ya vifurushi vyake, hivyo wateja sasa wanalipa zaidi kwa data sawa. Mabadiliko haya yameanza kutambuliwa na wateja tangu mwisho wa wiki iliyopita. Afisa wa kampuni ameeleza kuwa hii ni kutokana na mfumo mpya wa bei inayobadilika.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa