Felix Koskei

Fuatilia

Mkuu wa Utumishi wa Umma Felix Koskei ameelezea jinsi alivyopoteza mamilioni ya shilingi katika shughuli ya udanganyifu ya ardhi inayohusisha wafanyikazi wa Wizara ya Ardhi. Alisimulia tukio hilo wakati wa mkutano wa mashauriano na maafisa wa Idara ya Taifa ya Ardhi na Mipango Mijini Aprili 15. Koskei ameamuru wafanyikazi wanaoshiriki katika udanganyifu walipe hasara na kufutwa kazi.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa