Nasuri

Fuatilia

Mpango wa kutoa matibabu ya nasuri bila malipo uliofanyika Hospitali ya Rufaa ya Murang’a mnamo Aprili 18, 2026, ulisaidia wanawake na wasichana 449. Mpango huo ulileta pamoja serikali ya kaunti, Wizara ya Afya, M-Pesa Foundation, Flying Doctors na Amref Health Africa. Virginiah Wanjira alipata msaada kwa binti yake mwenye umri wa miaka mitano aliye na kasoro ya kuzaliwa inayoitwa congenital ureteric fistula.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa