GeoPoll

Fuatilia

Mahali pa kazi ndilo eneo lenye hatari kubwa zaidi ya unyanyasaji wa kingono barani Afrika, kwa mujibu wa utafiti wa GeoPoll uliofanywa nchini Kenya, Nigeria, Afrika Kusini na Misri. Zaidi ya nusu ya wafanyakazi katika nchi hizo wameripoti kukumbana na hali hiyo, na wanawake wakishika nafasi kubwa. Ripoti inaonyesha asilimia 51 ya washiriki wamepitia unyanyasaji huo kazini.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa