Haiti
Msemaji wa Misheni ya Usalama ya Kimataifa (MSS) Jack Mbaka amefafanua kuwa baadhi ya maafisa polisi wa Kenya wataabaki nchini Haiti wakati wa mpito wa misheni inayoongozwa na Umoja wa Mataifa kwenda nguvu mpya. Misheni imeingia katika hatua ya mpito na kupunguza idadi ya askari, na maafisa wakirudi nyumbani kwa hatua. Muda wa kujiondoa kikamilifu bado haujulikani.