Pombe haramu

Fuatilia

Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen ametangaza kupeleka kikosi maalum cha polisi Bonde la Kerio kuimarisha msako dhidi ya pombe haramu. Ameonya maafisa wanaoshirikiana na biashara hiyo watachukuliwa hatua za kinidhamu. Tangazo hili lilitolewa Metkei, Keiyo Kusini.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa