Migogoro ya Iran
Uhaba wa mafuta umeanza kushuhudiwa maeneo mbalimbali nchini, hasa Nairobi na North Rift, licha ya serikali kusema akiba iko thabiti. Mvutano kati ya Iran, Marekani na Israeli kwenye Mlango wa Hormuz unaathiri usafirishaji wa mafuta kimataifa. Madereva wanalalamika kukosa petroli na dizeli vituoni.