Jamhuri Dei
Rais William Ruto ameongoza sherehe za Jamhuri Dei nchi ikiadhimisha miaka 62 tangu ilipopata uhuru. Sherehe hizo zinazoendelea katika uwanja wa Nyayo Stadium, Nairobi, zilitumika pia kumkumbuka Hayati Raila Odinga ambaye aliaga dunia Oktoba 15, 2025. Sherehe hizo ziliandaliwa pia katika kaunti mbalimbali kama Siaya, Nyeri, Garissa na Homa Bay.