KNCHR
Wanaharakati wameitaka Tume ya KNCHR kuwa na uwazi katika mchakato wa fidia kwa waathiriwa wa maandamano ya Gen Z ya 2024 na 2025. Wamependekeza kuongeza siku za kukusanya data kutoka 60 hadi 90, na kuonya dhidi ya kuingiliwa na wanasiasa. Wanasema bajeti ya Sh2 bilioni haitoshi.