Soko la Kongowea

Fuatilia

Mgomo wa bei ya mafuta ulioisha Jumanne ulifichua jinsi Mombasa inavyotegemea usambazaji wa chakula kutoka maeneo ya bara. Upungufu mkubwa ulitokea katika Soko la Kongowea na kusababisha bei kupanda.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa