Mama Ngina

Fuatilia

Mama Ngina Kenyatta na Basil Criticos wamerejea mahakamani wakidai umiliki wa shamba la ekari 2,624 katika Kaunti ya Taita Taveta. Wanadai Msajili Mkuu wa Ardhi amepuuza amri ya mahakama iliyotolewa Desemba mwaka jana. Mahakama imekataa kutoa nafasi ya dharura na kuwapa washtakiwa siku 15 kujibu.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa