Uwezo wa Hisabati

Fuatilia

Ripoti mpya inaonyesha kuwa watoto sita kati ya 10 duniani hawajui kusoma sentensi rahisi au kusuluhisha hesabu za kimsingi, ingawa theluthi yao wako shuleni. Hii imezua wasiwasi kuhusu ubora wa elimu katika nchi maskini. Kenya inaongoza majirani zake barani Afrika Mashariki katika vipimo vya hisabati.

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa