Dereva wa Rally
Dereva wa Safari Rally, Maxine Wahome atajua hatima yake mwaka 2026 katika kesi ya mauaji ya mpenziwe Asad Khan. Mahakama imerudisha simu yake iliyotwaliwa baada ya kugundua hakuna ushahidi unaomuhusisha na kifo hicho. Kesi inaonyesha uhusiano wa vurugu kati yao.