Mbuga za wanyamapori
Gavana wa Taita Taveta Andrew Mwadime ameomba Bunge la Taifa kutekeleza ahadi ya Rais William Ruto kuhusu kugawanya asilima 50 ya mapato ya mbuga ya Tsavo. Ahadi hiyo ilitolewa miaka mitatu iliyopita lakini bado haijatekelezwa. Mwadime alipendekeza usimamizi wa pamoja na mgawanyo wa mapato.