Kaunti ya Lamu
Wakazi wa Lamu na wanaharakati wameitaka serikali kutekeleza amri ya Mahakama Kuu iliyosimamisha marufuku ya safari za usiku iliyodumu kwa miaka tisa.
Wakazi wa Lamu na wanaharakati wameitaka serikali kutekeleza amri ya Mahakama Kuu iliyosimamisha marufuku ya safari za usiku iliyodumu kwa miaka tisa.