Kisa kimoja cha Mpox kuthibitishwa Kaunti ya Embu

Maafisa wa afya wameingia katika hali ya tahadhari baada ya kuthibitishwa kisa kimoja cha ugonjwa wa Homa ya nyani katika Kaunti ya Embu.

Gavana Cecily Mbarire alisema kisa hicho kiligunduliwa hivi karibuni kwa mwanamke mwenye umri wa miaka 29 kutoka eneo la Kagaari. Mgonjwa huyo amewekwa masharti ya kutosafiri ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huo.

Akizungumza Uwanja wa Nembure, Kaunti Ndogo ya Manyatta, Bi Mbarire alisema maafisa wa afya wako mashinani kuhakikisha ugonjwa huo hausambai zaidi. Alitoa wito kwa wakazi kutembelea vituo vya afya mara moja wanapoonyesha dalili.

“Tunawaomba wakazi kuchukua ugonjwa huu kwa uzito na kutafuta matibabu mara moja wanapoanza kuonyesha dalili,” alisema Bi Mbarire.

Makala yanayohusiana

Protesters in Nanyuki demonstrating against an Ebola quarantine facility.
Picha iliyoundwa na AI

Protests erupt in Nanyuki over planned Ebola quarantine facility

Imeripotiwa na AI Picha iliyoundwa na AI

Residents of Nanyuki protested on Monday against plans to build a US-backed Ebola quarantine facility at the Nanyuki airbase.

The Principal Secretary for Health announced on June 6 that all 59 suspected Ebola cases in Kenya have tested negative. The update came during an inspection at the Busia-Malaba border amid ongoing surveillance efforts.

Imeripotiwa na AI

Kenya's health authorities have urged citizens to postpone non-essential trips to Uganda and the Democratic Republic of Congo due to rising Ebola cases in those countries.

The World Health Organization has declared the Ebola outbreak in the Democratic Republic of the Congo and Uganda a public health emergency of international concern. South African health officials say the risk of spread to the country remains low but stress the need for continued vigilance.

Imeripotiwa na AI

Mpumalanga's Health MEC Sasekani Manzini has called for collaboration with Mozambique and Eswatini to tackle a malaria outbreak that has caused four deaths and 858 cases since the start of the year. The province marked World Malaria Day in Nkomazi, where recent floods have boosted mosquito breeding. Officials note many cases are imported from across the borders.

At least three people were injured when police opened fire on demonstrators in Moyale town on Thursday. The protesters were calling for the release of two abducted elders and an end to the construction of a proposed security camp.

Imeripotiwa na AI

Union health minister JP Nadda chaired a high-level meeting to review India's preparedness against Ebola Virus Disease following recent cases in Congo and Uganda. Officials were directed to maintain strict screening at entry points. No cases have been reported in India so far.

Jumamosi, 6. Mwezi wa sita 2026, 15:57:33

Autopsy confirms protester died from gunshot in Nanyuki

Jumamosi, 6. Mwezi wa sita 2026, 12:26:03

Kakamega to establish two Ebola quarantine centres

Jumanne, 2. Mwezi wa sita 2026, 18:35:30

Two killed in Nanyuki protests over US-funded Ebola facility

Jumapili, 31. Mwezi wa tano 2026, 21:36:01

EAC schedules urgent meeting to coordinate Ebola response across member states

Jumamosi, 30. Mwezi wa tano 2026, 03:57:22

DRC asserts capability to manage Ebola amid Kenya quarantine backlash

Ijumaa, 29. Mwezi wa tano 2026, 13:00:13

U.S. deploys ebola team to kenya despite court suspension

Jumapili, 24. Mwezi wa tano 2026, 20:58:19

Philippines remains free of Ebola, DOH says

Alhamisi, 21. Mwezi wa tano 2026, 04:41:57

Kenya bolsters emergency measures against Ebola

Jumapili, 17. Mwezi wa tano 2026, 00:13:38

WHO warns of Ebola spread risk as Kenya activates emergency response measures

Ijumaa, 1. Mwezi wa tano 2026, 05:04:27

Unrest continues in Mwingi after 14-year-old boy's murder

 

 

 

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa