Mbunge wa Kuresoi Kaskazini asakwa na polisi kuhusiana na ghasia

Mbunge wa Kuresoi Kaskazini Alfred Mutai bado anasakwa na polisi kuhusiana na ghasia zilizotokea wikendi kati ya wafuasi wake na wale wa Gavana wa Nakuru Susan Kihika.

Ghasia hizo ziliwaacha watu watano wakiwa na majeraha ya risasi katika eneobunge la Kuresoi Kaskazini. Polisi walikamata zaidi ya vijana 56 wanaoshukiwa kushiriki katika ghasia hizo Shule ya Sekondari ya Umoja, Tulwet.

Bw Mutai amekanusha kuhusika na ghasia hizo na kusema analengwa kisiasa. Yeye ni mbunge wa muhula wa kwanza baada ya kumshinda aliyekuwa Naibu Spika Moses Cheboi kupitia UDA mnamo 2022.

Bi Kihika na wanasiasa wengine walikuwa wakifanya mkutano wa kuchangisha fedha katika wadi ya Nyota. Vijana 44 waliachiliwa huru kutokana na ukosefu wa ushahidi huku 12 wakisalia rumande na wanatarajiwa kufikishwa mahakamani Jumatatu.

Makala yanayohusiana

DCI police arresting three suspects outside Java House in Kisumu after attack on Vihiga Senator Godfrey Osotsi amid protesting crowd.
Picha iliyoundwa na AI

Three suspects arrested over attack on senator Osotsi in Kisumu

Imeripotiwa na AI Picha iliyoundwa na AI

Kenya's Directorate of Criminal Investigations has arrested three suspects linked to the assault on Vihiga Senator Godfrey Osotsi at Java House in Kisumu's West End Mall on Wednesday, April 8. Youths attacked Osotsi after questioning his opposition to re-electing President William Ruto. He was airlifted to Nairobi for treatment amid protests demanding justice.

The National Police Service has launched a manhunt for Kuresoi North MP Alfred Mutai following clashes at a youth empowerment event in Nakuru County on Friday that left three people with gunshot injuries.

Imeripotiwa na AI

Unrest continues to spread in Mwingi town, Kitui County, following the murder of a 14-year-old boy in Ukasi. Residents have held protests, halting transport and business along the Mwingi–Garissa highway. Police have arrested protesters and bolstered security.

A postmortem examination has established that 16-year-old Silvester Muigai died from a single gunshot wound to the head during protests in Nanyuki on June 9.

Imeripotiwa na AI

Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has directed Inspector General Douglas Kanja to swiftly arrest goons allegedly linked to opposition leaders. He issued the order at the burial of Mitchelle Jelimo Kemboi in Nakuru County. Murkomen accused the opposition of hiring thugs to disrupt public events and undermine order.

Tension has risen in Murang'a County after the County Security and Intelligence Committee launched an operation to pursue bloggers accused of posting baseless information online.

Imeripotiwa na AI

Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has confirmed arrests after suspected goons attacked a meeting at All Saints Cathedral on June 12. CCTV footage is being used to identify more suspects.

 

 

 

Tovuti hii inatumia vidakuzi

Tunatumia vidakuzi kwa uchambuzi ili kuboresha tovuti yetu. Soma sera ya faragha yetu kwa maelezo zaidi.
Kataa